2112; Kwa Nini Usianze Kuishi Hivyo Sasa…

By | October 12, 2020
Siku moja nikiwa kliniki, niliona kwenye orodha ya wagonjwa wanaosubiri kuingia kwangu kutibiwa kukiwa na mgonjwa mwenye miaka 93. Kwa haraka nilipata picha atakuwa ni mzee sana, ambaye atakuwa kwenye kiti cha kuendeshwa na atakuwa hawezi kutembea. Lakini nilipoita mgonjwa huyo, alikuja akiwa anatembea mwenyewe na alionekana kuwa na nguvu

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz