2175; Sumu Inayoua Taratibu…

By | December 14, 2020
Kuna sumu ambazo ukitumia unadhurika mara moja, yaani matokeo yake ni ya papo kwa hapo. Halafu kuna sumu ambazo huwa madhara yake ni ya muda mrefu, yaani matokeo yake yanahitaji muda mpaka yaanze kuonekana. Huwa tunahofia zaidi sumu za matokeo ya haraka kuliko za matokeo ya muda mrefu. Lakini kama

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz