2283; Hataki au hawezi…

By | April 1, 2021
2283; Hataki au hawezi… Kama unampa mtu kazi ya kufanya na haifanyi vizuri, tatizo linaweza kuwa moja kati ya haya mawili. Ni labda hataki kuifanya au hawezi kuifanya. Ili uweze kumsaidia kufanya, lazima ujue tatizo ni hataki au hawezi. Kujua tumia kigezo hiki, kama maisha ya mtu huyo yangetegemea yeye

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz