MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
2462; Ukiwa chini na ukiwa juu.
2462; Ukiwa chini na ukiwa juu. Unapokuwa chini, kuwa mtu wa shukrani. Na unapokuwa juu, kuwa mnyenyekevu. Hii ni kanuni muhimu ya maisha ambayo itakuwezesha kufanikiwa na kudumu kwenye mafanikio hayo. Unapokuwa chini, pale mambo yanapokuendea vibaya ni rahisi kulalamika na kulaumu kwa nini hayo yawe hivyo kwako. Lakini malalamiko