2519; Tatizo siyo muda, bali nguvu.

By | November 23, 2021
2519; Tatizo siyo muda, bali nguvu. Nimeshaliandikia hili hapa mara kadhaa, lakini nitaendelea kulirudia kwa sababu ni dhana ambayo wengi hawaielewi. Tumezoeshwa sana kuhangaika na muda. Tukafundishwa jinsi ya kupangilia na kudhibiti muda wetu ili kuweza kufanya makubwa. Tumekuwa tunaambiwa wazi kabisa kwamba muda ni zaidi ya fedha, maana ukipoteza

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz