Tag Archives: KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA

Sababu Kumi(10) Kwa Nini Uendelee Kubaki Kwenye Ajira Kwa Muda Kabla Ya Kujitosa Moja Kwa Moja Kwenye Ujasiriamali.

By | May 20, 2015

Leo naomba niongee na wasomaji wa KISIMA CHA MAARIFA  ambao bado wapo kwenye ajira ila haziwaridhishi na wanataka kuingia kwenye biashara au ujasiriamali. Kwanza nikupongeze sana kama wewe ni mmoja wa watu hawa ambao wanaona kazi pekee haitawawezesha kufikia yale mafanikio makubwa waliyopanga kufikia. Pamoja na ajira kutokuweza kukufikiahsa katika (more…)