FEDHA; Utaratibu Mzuri Wa Kujiwekea Akiba.

By | July 22, 2014
Hakuna kitu kizuri kwenye maisha yako kama pale ambapo unaweza kudhibiti mzunguko wako wa fedha. Yaani kama unaweza kujua kiasi gani unapata na kinatoka wapi na ni kiasi gani unatumia na unakitumia wapi unakuwa na uhuru, furaha na maisha yako yanakuwa ya uhakika. Hii ndio sababu kubwa iliyofanya tuanze na

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: TABIA ZA MAFANIKIO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz