FEDHA; Ufanye Nini Na Fedha Zako Baada ya Kuweka Akiba?

By | August 5, 2014
Mpaka sasa tumeshajifunza mengi kwenye tabia za mafanikio na mwezi wa saba na wa nane tunaendelea kujadili jinsi ya kujenga tabia nzuri kwenye matumizi na uhufadhi wa fedha. Kitu kikubwa ambacho mpaka sasa umeshakifanya kama unafuatilia mafunzo haya kwa ukaribu ni kupunguza matumizi yasiyo ya lazima na kuanza kujijengea tabia

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: TABIA ZA MAFANIKIO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz