Umuhimu na Faida za Nidhamu Binafsi

By | September 9, 2014
Nidhamu binafsi ni moja ya vitu muhimu sana ambapo kila binadamu anapaswa kuwa nacho. Nidhamu binafsi ndiyo inayokuwezesha kufanya maamuzi na kuweza kusimamia maamuzi hayo hata kama mambo yatakuwa magumu kiasi gani. Nidhamu binafsi itakuwezesha kuepuka kuwa na uteja wa tabia fulani, kuondoa uvivu na kukufanya uweze kuendelea kufanya kitu

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: TABIA ZA MAFANIKIO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz