RICHEST MAN; Kutana Na Miungu Wa Bahati.

By | October 30, 2014
Tamaa ya bahati ni kitu kinachotokea kwa kila mtu. Hata watu wa babeli walitamani sana bahati. Kila mtu anapenda kukutana na bahati ambapo kwa juhudi kidogo aweze kufikia mafanikio makubwa. Je kuna njia yoyote ya kukutana na miungu inayotoa bahati ili ikupatie bahati? Je kuna njia yoyote ya kukaribisha bahati?

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: THE RICHEST MAN IN BABYLON

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz