KUJIAMINI; Madhara Ya Kujiamini Na Kutokujiamini.

By | November 18, 2014
Habari za leo mwana mafanikio? Karibu kwenye kipengele cha tabia za mafanikio na mwezi huu tunaendelea na kujijengea tabia ya kujiamini. Kama tulivyoona kwenye makala zilizopita, kujiamini ni muhimu sana ili uweze kufikia mafanikio makubwa. Kama utakosa kujiamini utakuwa umejiwekea kikwazo kikubwa sana kuweza kufikia mafanikio. Leo tutajadili madhara ya

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: TABIA ZA MAFANIKIO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz