BIASHARA LEO; Vitu Viwili Muhimu Kujua Kuhusu Wateja Wa Biashara Yako.

By | June 24, 2015
Kwanza kabisa kama ambavyo nimekuwa nasisitiza, usiwe kwenye biashara ambayo hujui mteja wako ni nani. Tafadhali sana, chukua muda wa kumjua mteja wako au achana na biashara hiyo. Humsaidii yeyote kwa kutojua mteja wa biashara yako, na biashara itakuwa ngumu sana kwako kama hujui mteja wako ni nani. Sasa kikubwa

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In