MAMBO 20 NILIYOJIFUNZA KWENYE KITABU 100 WAYS TO MOTIVATE OTHERS.

By | August 22, 2015
Kitabu 100 WAYS TO MOTIVATE OTHERS ni kitabu kinachokupa maarifa ya kuweza kuwahamasisha wengine ili kuweza kua na kufabya zaidi. Kumbuka kwamba mafanikio yako kwenye kazi na hata maisha yanategemea ni jinsi gani unaweza kuwahamasisha wengine ili waweze kutimiza majukumu yao. Hapa kuna mambo 20 nitakayokushirikisha kutoka kwenye kitabu hiki.

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: UCHAMBUZI VITABU

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz