BIASHARA LEO; Njia Bora Ya Kutatua Mgogoro Kati Yako Na Mteja Wako.

By | February 5, 2016
Karibu tena kwenye makala hizi za biashara leo ambapo tunapeana mbinu za kuboresha biashara zetu zaidi. Na leo tutaangalia njia bora ya kutatua mgogoro unaoweza kuibuka kati yako na mteja wako. Kama ambavyo tumeshaona kwenye makala zilizopita, mara zote mteja yupo sahihi, na kama kuna ushindani wowote kati yako na

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: BIASHARA LEO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz