UCHAMBUZI WA KITABU; Don’t Go Back To School (Usirudi Tena Darasani).

By | February 24, 2016
Tangu kuwepo kwa mfumo rasmi wa elimu, elimu ya darasani imekuwa inapewa kipaumbele kikubwa sana kwenye jamii zetu. Imekuwa ikizoeleka sana, wale ambao wanapata elimu rasmi ya darasani ndio pekee wanaopata nafasi za kuajiriwa na kuwa na maisha bora. Ila kwa sasa mambo yamebadilika sana, elimu ya darasani karibu kila

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: UCHAMBUZI VITABU

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz