BIASHARA LEO; Hatua Za Kuchukua Pale Mteja Anapotaka Bei Ya Chini Kuliko Kiwango Chako.

By | March 2, 2016
Kwenye makala iliyopita ya BISHARA LEO, tuliona ni muhimu sana kuepuka kuweka bei kubwa ili wateja watakapotaka kupunguziwa ndiyo unampunguzia kufikia bei ya kawaida. Tukaona ni muhimu uwe na bei moja ambayo haipungui na kila mteja ataambiwa bei hiyo. Kama hukupata nafasi ya kusoma makala ile bonyeza maandishi haya kuisoma;

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: BIASHARA LEO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz