BIASHARA LEO; Njia Rahisi Ya Kuua Biashara Yako.

By | March 30, 2016
Kuna njia nyingi sana unazoweza kutumia kuua biashara yako. Kwanza elewa kwamba wewe mwenyewe ndiye utakayeua biashara yako. Siyo mtu mwingine yeyote, ni wewe kwa kufanya au kutokufanya mambo fulani kwenye biashara yako. Sasa turudi kwenye hiki tulichopanga kujadili leo. Njia rahisi sana ya kuua biashara yako ni kuacha kujali

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: BIASHARA LEO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz