BIASHARA LEO; Aina Mbili Za Uchumi Wa Biashara Na Ipi Ya Kuwekea Mkazo…

By | September 1, 2017
Zipo aina mbili za uchumi wa biashara, aina moja ni rahisi kufanya lakini matokeo yake siyo mazuri. Aina nyingine ni ngumu kufanya lakini matokeo yake ni mazuri, hasa ukiweza vizuri. Aina ya kwanza ni kuwafikia wateja wengi uwezavyo, kukazana kila mtu awe mteja wako. Hapa inakubidi uwe na kitu ambacho

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: BIASHARA LEO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz