BIASHARA LEO; Usiache Kutumia Nguvu Hii Ya Mahusiano Kwenye Biashara Yako…

By | February 12, 2018
Mahusiano yana nguvu kubwa sana kwenye maisha yetu ya kila siku. Tunasukumwa kuchukua hatua pale ambapo mtu ambaye tuna mahusiano naye ana uhitaji au matatizo yanayohitaji msaada wetu. Katika mahusiano, kuna yale ya moja kwa moja, kama ya undugu, ambayo mtu hachagui. Kama mmezaliwa pamoja tayari mna uhusiano, na hivyo

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: BIASHARA LEO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz