BIASHARA LEO; Nunua Uza Au Uza Nunua.

By | July 29, 2018
Kwa wale ambao hawajui ni biashara gani wafanye, Wale ambao wanataka kuingia kwenye biashara lakini hawajui waanzie wapi, Na hata kwa wale ambao wanataka kuingia kwenye biashara lakini hawana mtaji wa kuanza biashara, Zipo njia mbili za kuingia kwenye biashara na hata kuanza biashara yoyote. Njia ya kwanza ni kununua

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: BIASHARA LEO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz