BIASHARA LEO; Jinsi Ya Kumjibu Mteja Anayekuambia Wengine Wanauza Kwa Bei Ndogo Kuliko Wewe…

By | July 30, 2018
Kwenye biashara yako, utakutana na wateja wengi wanaotaka uwapunguzie bei. Sasa kama bei zako umepanga kwa usahihi, kwa kuzingatia thamani ambayo wateja wanaipata, hupaswi kupunguza bei. Kwa sababu tabia ya kupunguza bei ina madhara makubwa kwenye biashara yako kwa baadaye, hata kama unaona kwa sasa ina manufaa. Mara kwa mara

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: BIASHARA LEO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz