BIASHARA LEO; Njia Bora Ya Kufanikiwa Kwenye Biashara Ni Kuwa Na Ubinafsi Kwako Mwenyewe…

By | August 9, 2018
Kama unataka kuendesha biashara yako vizuri na kama unataka kufanya mambo mazuri kwenye hii dunia, basi jua ya kwamba unahitaji kujijali wewe kwanza kabla ya vitu vingine vyovyote. Ni kweli biashara itakuhitaji uweke juhudi kubwa, itahitaji muda wako mwingi, lakini kama hutajijali wewe mwenyewe kwanza, hutafika mbali. Utaweza kupata matokeo

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: BIASHARA LEO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz