BIASHARA LEO; Hatari Ya Biashara Yako Kufanikiwa…

By | August 21, 2018
Unapoanzia biashara yako chini kabisa, watu wengi hawakupi uzito. Watu wengi wanaona ni biashara ndogo, ambayo haiwezi kufanikiwa. Wapo mpaka watakaokukatisha tamaa na kukuambia huwezi. Sasa wewe unakomaa, una ndoto yako unayofanyia kazi na biashara inaanza kukua, biashara inaonesha mafanikio makubwa. Hapo sasa ndipo hatari ya biashara yako inapoanzia. Biashara

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: BIASHARA LEO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz