BIASHARA LEO; Hatua Mbili Za Kishujaa Za Kuchukua Kwenye Biashara Yako.

By | August 25, 2018
Biashara haina tofauti sana na vita, kwa sababu kufanikiwa kwenye biashara kunakutaka uwe shujaa kama walivyo mashujaa wa vita. Biashara nyingi zinazoanzishwa huwa zinakufa kwa sababu wanaoanza biashara hizo wanakuwa hawajajiandaa kisaikolojia kupambana na changamoto mbalimbali za biashara. Wengi hufikiri biashara ni wazo na mtaji, vingine vitakwenda. Lakini biashara ni

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: BIASHARA LEO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz