BIASHARA LEO; Ugonjwa Wa Fursa Mpya Utaua Ndoto Zako Kibiashara…

By | August 26, 2018
Pata picha ya mkulima huyu, Ameambiwa akilima karanga zitamlipa sana, analima shamba na kupanda karanga, wakati karanga zinaanza kuchipua, anaambiwa kuna fursa mpya, kama atalima mahindi, basi atafanikiwa sana, anang’oa karanga na kupanda mahindi. Mahindi yanakua na kabla hayajafikia kuvunwa, anaambiwa fursa kubwa sasa hivi ni maharagwe, anang’oa mahindi hayo

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: BIASHARA LEO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz