BIASHARA LEO; Kumbuka Kuna Mtu Anaweza Kuwa Rahisi Zaidi Yako…

By | August 27, 2018
Wafanyabiashara wavivu na wasiotaka kuweka kazi, huwa wanatumia njia moja kwenye kushindana. Njia hiyo ni kushusha bei na kuuza kwa bei rahisi zaidi ya wengine. Ni njia ambayo kwa haraka inaweza kuongeza wateja na faida, lakini baadaye inakuwa mzingo mkubwa kwa mfanyabiashara. Hii ni kwa sababu, kila mtu anaweza kupunguza

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: BIASHARA LEO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz