BIASHARA LEO; Vitu Unavyotafuta Kwenye Biashara Ambavyo Hutavipata…

By | August 29, 2018
Nimekuwa nasema hili na bado naona wengi hawalipati vizuri. Watu wengi wanaingia kwenye biashara kwa sababu ambazo siyo sahihi, na hilo linawaumiza sana. Watu wanakuwa na mategemeo fulani wanapoingia kwenye biashara, lakini wakiingia wanakutana na uhalisia tofauti ambao unawaumiza sana. Watu wanaingia kwenye biashara wakiamini watakuwa na uhuru na muda

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: BIASHARA LEO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz