BIASHARA LEO; Hakuna Njia Moja Sahihi Ya Kufanya Biashara Yako…

By | August 30, 2018
Moja ya vitu vinavyoua biashara nyingi ni mazoea. Watu wanakuwa wameanza biashara na kugundua njia moja ya kufanya biashara zao ambayo inawapa manufaa na kutumia njia hiyo kwa mazoea bila ya kubadili au hata kuwa bora zaidi. Watu wengine wamekuwa wanashauriwa kwamba njia pekee ya kufanikiwa ni kufanya biashara fulani

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: BIASHARA LEO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz