BIASHARA LEO; Weka Mafanikio Ya Wateja Wako Mbele Ya Faida Unayopata…

By | September 1, 2018
Somo moja ambalo kila mfanyabiashara anapaswa kulipata kila siku ni umuhimu wa kujali wateja wa biashara hiyo kwanza. Wengi wamekuwa wanaona hilo siyo sahihi, hasa kwa enzi hizi ambazo wateja siyo waaminifu. Enzi ambazo mteja anaweza kuamua kukuhama muda wowote na kwenda kununua kwa mfanyabiashara mwingine. Lakini hizi ndiyo enzi

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: BIASHARA LEO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz