BIASHARA LEO; Kama Huwezi Kuuza Kitu Hiki, Ni Bora Usiwe Kwenye Biashara Kabisa…

By | September 2, 2018
Kuna watu wengi wanaingia kwenye biashara wakiwa wameshajiandaa kushindwa. Wanaingia kwenye biashara wakiwa hawana kitu cha tofauti wanachokwenda kuuza. Wanauza kile ambacho kila mtu anauza, na kwa namna ambayo kila mtu anauza. Sasa swali ni kama kile unachouza mteja anaweza kukipata sehemu nyingine yoyote, kuna umuhimu gani wa wewe kuwepo?

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: BIASHARA LEO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz