BIASHARA LEO; Kazi Kubwa Iliyopo Kwenye Mwanzo Wa Biashara Yako…

By | September 6, 2018
Ni kutengeneza wateja wa biashara hiyo. Kutengeneza sifa ambayo wateja wako wanakuwa nayo kuhusu wewe. Huwezi kwenda kununua kitu kwenye biashara mara moja na ukatoka hapo ukawaambia watu ile ni sehemu nzuri. Utaenda na kupata huduma nzuri, utashawishika tena kurudi na utapata huduma nzuri, mara ya tatu ukipata tena huduma

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: BIASHARA LEO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz