BIASHARA LEO; Kuuza Ni Kuwa Na Msimamo…

By | September 8, 2018
Moja ya vitu muhimu sana unavyopaswa kujua ni kwamba, kuuza ni kuwa na msimamo. Kama huna msimamo huwezi kufanikiwa kwenye mauzo. Utauza kwa kadiri utakavyokuwa na msimamo. Kwa sababu mara ya kwanza utakapowaambia watu kitu hawatachukua hatua, mara ya pili pia hawatachukua hatua, utakwenda mpaka mara ya sita, ndiyo wengi

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: BIASHARA LEO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz