MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
BIASHARA LEO; Punguza Hatari Kwenye Biashara Yako…
Warren Buffett, mwekezaji mwenye mafanikio makubwa na mmoja wa watu matajiri sana duniani, anasema ana sheria kuu mbili za uwekezaji. Sheria ya kwanza ni usipoteze fedha na sheria ya pili ni usisahau sheria ya kwanza. Tunaweza pia kutumia sheria hii kwenye biashara zetu na ikatusaidia sana. Jiwekee sheria ya kutokupoteza