BIASHARA LEO; Punguza Hatari Kwenye Biashara Yako…

By | September 9, 2018
Warren Buffett, mwekezaji mwenye mafanikio makubwa na mmoja wa watu matajiri sana duniani, anasema ana sheria kuu mbili za uwekezaji. Sheria ya kwanza ni usipoteze fedha na sheria ya pili ni usisahau sheria ya kwanza. Tunaweza pia kutumia sheria hii kwenye biashara zetu na ikatusaidia sana. Jiwekee sheria ya kutokupoteza

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: BIASHARA LEO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz