BIASHARA LEO; Kama utaacha kuuza leo…

By | September 14, 2018
Kama ikatokea umeacha kuuza leo, je kuna watu watakaokosa kile unachouza? Je wapo watu ambao maisha yao yatakwama kwa sababu ya wewe kuacha kuuza kile unachouza? Kama ikitokea leo umeondoka kabisa kwenye biashara unayofanya, je kuna watu ambao watagundua uwepo wako? Iwapo ukiondoka hakuna anayegundua hata kama haupo, basi jua

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: BIASHARA LEO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz