BIASHARA LEO; Weka Mkazo Kwenye Vitu Visivyobadilika…

By | September 17, 2018
Wapo watu wengi wameingia kwenye biashara wakifikiri ni fursa bora kumbe ni kitu cha msimu, kitu ambacho kinapita. Wapo wengine ambao wamebadili sana biashara zao wakijua mambo yamebadilika kumbe ni msimu tu wa kupita. Kabla hujafanya maamuzi muhimu kwenye biashara yako, kwanza angalia kinachokusukuma kufanya maamuzi. Je ni kitu cha

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: BIASHARA LEO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz