#TuvukePamoja; Maisha na covid 19.

By | May 14, 2020
Kama ambavyo nimekuwa nashirikisha mara kwa mara, na kama ambavyo taarifa mpya zinaonesha, ugonjwa huu wa covid 19 utachukua muda kuondoka. Na mategemeo ya kuondoka kwa ugonjwa huu ni pale dawa au chanjo itakapopatikana, kitu ambacho kinakadiriwa kuchukua siyo chini ya miezi 18. Hivyo tunapaswa kujifunza kuendelea na maisha katika

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: #TUVUKE PAMOJA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz