Mawazo 10 ya kuingiza fedha kupitia mtandao wa

By | May 22, 2021
Mawazo 10 ya kuingiza fedha kupitia mtandao wa intaneti. Mtandao wa intaneti umeleta mapinduzi makubwa duniani, umerahisisha kila kitu ikiwepo kuingiza kipato. Hapa kuna mawazo kumi unayoweza kutumia kuingiza kipato kwa kutumia mtandao wa intaneti mara moja. Anzisha blog ambayo utaweka maudhui mbalimbali na kisha kuitumia kuweka matangazo au kuuza

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: MAWAZO 10

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz