Mawazo 10 ya kuingiza fedha kupitia biashara ya

By | June 14, 2021
Mawazo 10 ya kuingiza fedha kupitia biashara ya nguo. Hakuna siku watu watatembea uchi duniani, hivyo mavazi yanabaki kuwa hitaji la msingi kabisa kwa wanadamu. Japo ni biashara yenye changamoto kubwa ya ushindani, maana wengi huona ndiyo biashara rahisi kwao kuingia na kufanya. Hapa kuna mawazo 10 ya kuingiza fedha

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: MAWAZO 10

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz