Mawazo 10 ya kuingiza fedha kwa kipande cha

By | July 16, 2021
Mawazo 10 ya kuingiza fedha kwa kipande cha ardhi. Kama una kipande cha ziada cha ardhi kwenye eneo lako la makazi, unaweza kukitumia kama sehemu ya kuingiza kipato zaidi. Kulingana na ukubwa wa kipande hicho cha ardhi eneo ulipo, kuna mawazo mbalimbali unayoweza kufanyia kazi. Hapa kuna mawazo kumi unayoweza

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: MAWAZO 10

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz