Ongea Na Kocha; Kuanza Mwaka Wa Mafanikio 2021/2022.

By | November 1, 2021
Habari mwanamafanikio? Karibu kwenye kipindi cha ONGEA NA KOCHA cha kuuanza mwaka mpya wa mafanikio 2021/2022. Kwenye kipindi hiki nimeeleza kwa kina mwongozo wetu ambao tutakwenda nao kwa mwaka huo mzima wa mafanikio. Nimetoa ufafanuzi wa mambo mbalimbali, ikiwepo lengo la thamani ya utajiri, kwa kuzidisha mara mbili ya ile

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: ONGEA NA KOCHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz