ONGEA NA KOCHA; Nguvu Ya Fikra, The Prophet, Sebastian Kalugulu.

By | November 8, 2021
Karibu kwenye kipindi cha ONGEA NA KOCHA ambapo unakwenda kujifunza mambo matatu makubwa. Moja ni Nguvu ya fikra kwenye safari ya mafanikio. Hapa utajifunza jinsi fikra zako zilivyo na nguvu ya kuumba na jinsi ya kujenga fikra sahihi na kuzilinda. Mbili ni uchambizi wa kitabu cha The Prophet ambapo utajifunza

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: ONGEA NA KOCHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz