Barua ya XIX; Kuhusu mambo ya kidunia na kustaafu.

By | September 8, 2023
Barua ya XIX; Kuhusu mambo ya kidunia na kustaafu.Rafiki yangu Mstoa, Maisha yetu hapa duniani ni ya mahangaiko, tangu tunazaliwa mpaka tunakufa.Kwenye kila hatua ya maisha kunakuwa na mambo ambayo tunayahangaikia.Na hilo limekuwa halina mwisho.Kwa watu wengi wasiokuwa na uelewa au falsafa wanayoiishi, maisha yao yote huwa ya mahangaiko.Hata pale

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: FALSAFA YA USTOA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz