Category Archives: UWEKEZAJI LEO

UWEKEZAJI LEO; Tofauti Ya Uwekezaji Kwenye Hisa Na Hatifungani.

By | September 20, 2017

Kwenye makala iliyopita ya UWEKEZAJI LEO, tuliona kwamba amana kuu mbili zinazopatikana kwenye soko la hisa la Dar ni hisa na hatifungani. Watu wengi wamekuwa wakisikia hisa mara kwa mara, lakini siyo hatifungani. Na hii ni kwa sababu zipo kampuni nyingi zinazouza hisa zake kuliko zinazouza hatifungani. Katika makala haya (more…)

UWEKEZAJI LEO; Aina Mbili Za Amana Zinazopatikana Kwenye Soko La Hisa La Dar Es Salaam.

By | September 19, 2017

Watu wengi wanaposikia soko la hisa, basi hufikiri kinachouzwa na kununuliwa ni hisa pekee. Lakini huu siyo ukweli. Kwenye soko la hisa kuna bidhaa mbalimbali za kifedha ambazo zinapatikana. Bidhaa hizi za kifedha kwa pamoja zinajulikana kama amana. Na hizi ndizo hupatikana kwenye masoko ya hisa na njia nyingine za (more…)

UWEKEZAJI LEO; Lijue Soko La Hisa La Dar Es Salaam (DSE).

By | September 18, 2017

Kama umekuwa unasikia kuhusu uwekezaji kwa hapa Tanzania, basi utakuwa umesikia kuhusu soko la hisa la dar es salaam kwa kiingereza Dar es salaam Stock Exchange (DSE). Huenda umekuwa unasikia na kuona hilo kwenye taarifa mbalimbali za habari. Swali ni je unaposikia soko la hisa ni mawazo gani yanakujia kwenye (more…)