Tag Archives: soko la hisa

UWEKEZAJI LEO; Ongezeko La Thamani Ya Mtaji Katika Uwekezaji.

By | October 17, 2017

Ukinunua kiwanja leo kwa shilingi milioni moja, halafu baada ya mwaka mmoja ukauza kiwanja hicho kwa shilingi milioni mbili, kuna ongezeko la thamani la mtaji ulioweka. Wewe uliweka mtaji ambao ni shilingi milioni moja, lakini baada ya mwaka mtaji huo umekua na kufikia milioni mbili. Ongezeko la thamani ya mtaji (more…)

UWEKEZAJI LEO; Lijue Soko La Hisa La Dar Es Salaam (DSE).

By | September 18, 2017

Kama umekuwa unasikia kuhusu uwekezaji kwa hapa Tanzania, basi utakuwa umesikia kuhusu soko la hisa la dar es salaam kwa kiingereza Dar es salaam Stock Exchange (DSE). Huenda umekuwa unasikia na kuona hilo kwenye taarifa mbalimbali za habari. Swali ni je unaposikia soko la hisa ni mawazo gani yanakujia kwenye (more…)