Category Archives: #TAFAKARI YA LEO

#TAFAKARI YA LEO; UKWELI NI SUMU KWA WAOVU…

By | August 24, 2020

“The truth is harmful only to evildoers. Those who do good love the truth.” – Leo Tolstoy Ukweli huwa haubembelezi, Huwa unabaki kuwa ukweli mara zote, bila ya kujali wengine wanaupokeaji. Tabia hii ya ukweli imekuwa ni sumu kubwa kwa wale wanaotenda maovu. Kwa sababu hata wajaribu kuuficha ukweli kwa (more…)

#TAFAKARI YA LEO; FIKIRI KWA KINA…

By | August 22, 2020

“One hour of honest, serious thinking is more precious than weeks spent in empty talks.” – Leo Tolstoy Watu wengi wanapenda kutumia muda wao mwingi kuongea kuliko kufikiri. Wengi hawapendi kabisa kufikiri, Hivyo mtu anapohitajika kufikiri, atatafuta kila namna ya kukimbia jukumu hilo. Saa moja ya kufikiri kwa kina ni (more…)

#TAFAKARI YA ASUBUHI; KAMA HUNA MUDA, KUNA MAHALI UNAKOSEA…

By | August 21, 2020

“Anyone who is engaged in really important things is very simple because he does not have time to create unneces sary things.” – Leo Tolstoy Kama huna muda, kama kila wakati uko bize na hupati nafasi ya kufanya yale muhimu kwako, Basi jua kuna mahali unakosea, Kuna mambo yasiyo muhimu (more…)

#TAFAKARI YA LEO; KINACHOKUTENGENEZA…

By | August 18, 2020

“Tell me to what you pay attention, and I’ll tell you who you are.” – Ortega y Gasset Kile unachokipa umakini wako, ndiyo kinachokutengeneza. Hivyo ukitaka kujua utakuwa mtu wa aina gani, Angalia vitabu unavyosoma sasa, Angalia habari na mitandao unayofuatilia, Na angalia wale unaotumia nao muda wako mwingi. Sisi (more…)