#TAFAKARI YA LEO; KUPOKEA NA KUTOA…
“Receive without pride, let go without attachment.” —MARCUS AURELIUS, MEDITATIONS, 8.33 Tumepata nafasi ya kuiona siku hii nyingine nzuri sana kwetu leo. Ni nafasi ya kipekee sana kwetu kwenda kuweka juhudi kubwa ili kuweza kupata matokeo bora sana. Kwa msingi wetu wa NIDHAMU, UADILIFU NA KUJITUMA pamoja na mwongozo wa (more…)
