Category Archives: #TAFAKARI YA LEO

#TAFAKARI YA LEO; USIFANYE MAMBO KUWA MABAYA ZAIDI…

By | June 11, 2019

“How much more harmful are the consequences of anger and grief than the circumstances that aroused them in us!” —MARCUS AURELIUS, MEDITATIONS, 11.18.8 Ni siku mpya, siku nzuri na ya kipekee sana kwetu. Ni fursa nyingine nzuri kwetu kwenda kuweka juhudi kubwa ili kuweza kupata matokeo bora sana. Kwa msingi (more…)

#TAFAKARI YA LEO; HATA WEWE UNAWEZA PIA…

By | June 10, 2019

“If you find something very difficult to achieve yourself, don’t imagine it impossible—for anything possible and proper for another person can be achieved as easily by you.” —MARCUS AURELIUS, MEDITATIONS, 6.19 Tushukuru kwa nafasi hii nyingine ambayo tumeipata leo. Siyo wote ambao walipanga kuiona siku hii wameweza kuiona. Ila kwa (more…)

#TAFAKARI YA LEO; NDIYO SABABU YA WEWE KUWA HAPA DUNIANI…

By | June 4, 2019

“Why then are we offended? Why do we complain? This is what we’re here for.” —SENECA, ON PROVIDENCE, 5.7b–8 Hongera sana wanamafanikio kwa siku hii nyingine nzuri sana ya leo. Ni nafasi bora na ya kipekee sana kwetu kwenda kuweka juhudi kubwa ili kuweza kupata matokeo bora sana. Kwa msingi (more…)