BIASHARA LEO; Tafuta Mlango Wa Kutorokea Na Jua Wakati Wa Kutoroka.

By | July 24, 2015
Biashara unayofanya sasa, haitakuwa hivyo ilivyo kwa miaka kumi ijayo. Japo kipindi hiko kuna watu ambao bado watakuwa wanaifanya kama inavyofanywa sasa. Ila hawa ni wale ambao wanaendesha biashara za kawaida, zinazowaumiza vichwa na zisizo na faida kubwa. UMESHAJUA PA KUTOROKEA? Wajanja wote kwenye biashara wajua mlango wa kutorokea na

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: BIASHARA LEO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz