UKURASA WA 670; Tabia Mbili Kwa Kila Mjasiriamali Kuwa Nazo.

By | October 31, 2016
Kuna tabia mbili muhimu sana kila mjasiriamali anapaswa kujijengea. Hizi siyo tabia za kuzaliwa nazo, bali kila mtu anajijengea kadiri anavyokwenda na maisha yake. Kwa tabia hizi mbili, mtu ataweza kufanikiwa kupitia ujasiriamali. Tabia ya kwanza ni KUJUA WAKATI GANI WA KUCHUKUA HATARI. Maamuzi mengi kwenye ujasiriamali ni maamuzi ambayo

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz