NG’ANG’ANA NA KATAA; Njia Pekee Ya Kuweza Kufanya Makubwa Kwenye Zama Hizi Za Usumbufu Wa Hali Ya Juu.

By | May 30, 2017
Hakuna ambaye hapendi kufanya mambo makubwa kwenye maisha yake. Na kuonesha ni namna gani tumejitoa kufanya makubwa, tunapanga kabisa kila tunachotaka kufanya na kuona wapi tunapotaka kufika. Lakini hii ni sehemu rahisi ya kufika tunakotaka, tunaweza kusema ni asilimia moja pekee. Sehemu kubwa, ile asilimia 99, inatokana na juhudi tunazoweka

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: BIASHARA NA UJASIRIAMALI

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz